alfredjembe Member Joined May 9, 2014 Posts 38 Reaction score 23 Mar 21, 2015 #1 Hapa Tanzania kunamifuko mingi ya ifadhi ya jamii, Je ni hupi mfuko mzuri ambao hauna usumbufu kwenye malipo?na unagharama ndogo kwenye makato?
Hapa Tanzania kunamifuko mingi ya ifadhi ya jamii, Je ni hupi mfuko mzuri ambao hauna usumbufu kwenye malipo?na unagharama ndogo kwenye makato?
Blessed Keinerugaba JF-Expert Member Joined Nov 16, 2011 Posts 4,754 Reaction score 4,746 Mar 21, 2015 #2 ihadhi=hifadhi . Mfuko wa hifadhi wenye benefits nyingi ni LAPF,makato always 5% or 10% ya mshahara wako,nyingine anakuripia mwajiri(ili kufikisha 20%),sasa yapo maneno kuwa hizo deduction zitakua uniform kwa mifuko yote!
ihadhi=hifadhi . Mfuko wa hifadhi wenye benefits nyingi ni LAPF,makato always 5% or 10% ya mshahara wako,nyingine anakuripia mwajiri(ili kufikisha 20%),sasa yapo maneno kuwa hizo deduction zitakua uniform kwa mifuko yote!