Hakuna utaratibu wowote ,fika unapoona kuna uwazi wa wewe kuweka chako ,ongea na hao majirani wa sehemu husika,wakikuambia fresh ,Basi tandaza biashara,Ila jioni ukimaliza ,watakufuata na wewe uchangie Pato la nchi,sio Ela nyingi inategemea na sehemu husika,wanapita kwa kila mtu kukusanya ushuru