Goti la samaki
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 144
- 78
Habari za humu wakuu,
Naomba kuuliza kuhusu nacte mwaka huu kuna issue gani inaendelea? Mbona wamechelewa sana kutoa matokeo ya semester two ?
Je, matokeo ni mabaya sana?
Mwenye anajua au mwenye tetesi zozote za nacte kuhusiana na matokeo ya mwaka huu atuambie
Hii ni especially kwa kozi ya Clinical Medicine.
Nakaribisha mawazo yenu asanteni.
Naomba kuuliza kuhusu nacte mwaka huu kuna issue gani inaendelea? Mbona wamechelewa sana kutoa matokeo ya semester two ?
Je, matokeo ni mabaya sana?
Mwenye anajua au mwenye tetesi zozote za nacte kuhusiana na matokeo ya mwaka huu atuambie
Hii ni especially kwa kozi ya Clinical Medicine.
Nakaribisha mawazo yenu asanteni.