Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Habarini wadau , heshima kwenu kwakuwa wajumbe wa baraza hili.
Wakulungwa naomba kufahamishwa, hivi gari za serikali especially hizi land cruiser V8 huwa serikali inaweka mafuta yapi kati ya Diesel au Petrol?!
Maana kuna mtu hapa tumebishana sana nikaona nije kuuliza hapa ambapo kuna wengi wenye experience na pia wanajua haya magari.
Je serikali wanapoagiza hizi V8 huwa wanachagua gari za Petrol au za Diesel?!
Wakulungwa naomba kufahamishwa, hivi gari za serikali especially hizi land cruiser V8 huwa serikali inaweka mafuta yapi kati ya Diesel au Petrol?!
Maana kuna mtu hapa tumebishana sana nikaona nije kuuliza hapa ambapo kuna wengi wenye experience na pia wanajua haya magari.
Je serikali wanapoagiza hizi V8 huwa wanachagua gari za Petrol au za Diesel?!