naomba kuuliza mwenye uelewa na minada ya police

naomba kuuliza mwenye uelewa na minada ya police

AKASINOZO

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
1,367
Reaction score
2,219
Nataman kununua baadhi ya bidhaa zilizo achwa na watu kwenye vituo mbali mbali vya police

Msaada please
 
Wasiliana na ofisi ya ODC au RPC watakupa maelekezo zaidi.
.
Lakini minada hiyo hufanyika kwa mujibu wa sheria na lengo lake ni kuondoa msongamano wa hivo vitu emeo la kituo, gari limekatwa kwa kosa la kutolipa faini za barabarani na muhusika kapewa wiki mbili alipe madeni yake hakutoea miezi mitatu na akataarifiwa afike na hakufika basi litauzwa kwa bei yenye lengo la kufidia gharama za lile deni kwanza ingine ni kama bonus.
.
Gari la million 10 linaweza kuuzwa 5M
 
Wasiliana na ofisi ya ODC au RPC watakupa maelekezo zaidi.
.
Lakini minada hiyo hufanyika kwa mujibu wa sheria na lengo lake ni kuondoa msongamano wa hivo vitu emeo la kituo, gari limekatwa kwa kosa la kutolipa faini za barabarani na muhusika kapewa wiki mbili alipe madeni yake hakutoea miezi mitatu na akataarifiwa afike na hakufika basi litauzwa kwa bei yenye lengo la kufidia gharama za lile deni kwanza ingine ni kama bonus.
.
Gari la million 10 linaweza kuuzwa 5M
Shukrani
 
Back
Top Bottom