Naomba kuuliza sheria ipoje kwa askari anapopewa kupeleleza kesi yangu ninamamlaka ya kumharakisha!????

Naomba kuuliza sheria ipoje kwa askari anapopewa kupeleleza kesi yangu ninamamlaka ya kumharakisha!????

Lukaku Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
843
Reaction score
740
Nmesema hayo sababu kuna askari alipewa kufuatilia mtuhumiwa Wangu lkn sikumuelewa ile siku namwambia mtuhumiwa yupo leaders club akadai hawez kwenda sababu anapajua leaders club sio pa mchezo
Hyo ipoje kwani hawezi kweli kuingia leader club au ttzo nn?
Msaada juu ya askari unaepewa kusimamia upelelzi Wa kesi yako upoje!!

Wanasheria msaada tafadhali sheria inasemaje juu ya askari mpelelezi !??
Najua npo kwa wanasheria I expect msaada tu
 
Nmesema hayo sababu kuna askari alipewa kufuatilia mtuhumiwa Wangu lkn sikumuelewa ile siku namwambia mtuhumiwa yupo leaders club akadai hawez kwenda sababu anapajua leaders club sio pa mchezo
Hyo ipoje kwani hawezi kweli kuingia leader club au ttzo nn?
Msaada juu ya askari unaepewa kusimamia upelelzi Wa kesi yako upoje!!
Unaweza kumharakisha kwa kumpa hela mkuu. Kiwango kitategemea na.haraka yako na ukubwa wa kesi yako[emoji379]
 
Back
Top Bottom