Naomba kuuliza tafadhali,

Naomba kuuliza tafadhali,

KUGA

New Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Ni kwa nini binadamu huwa anapoenda haja kubwa na haja ndogo pia inatoka hata kama ni kidogo,Lakini anapoenda haja ndogo kubwa huwa haitoki?
 
Niona Hadhi Ya JF imepotea Kabisa Manake Hizi Thread Nyengine Hazina Mafunzo wala Tija Yoyote Kwa Jamii...
 
Ni kwa nini binadamu huwa anapoenda haja kubwa na haja ndogo pia inatoka hata kama ni kidogo,Lakini anapoenda haja ndogo kubwa huwa haitoki?
Ha ha ha ha....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom