Naomba kuuliza tafadhali,

KUGA

New Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Ni kwa nini binadamu huwa anapoenda haja kubwa na haja ndogo pia inatoka hata kama ni kidogo,Lakini anapoenda haja ndogo kubwa huwa haitoki?
 
Niona Hadhi Ya JF imepotea Kabisa Manake Hizi Thread Nyengine Hazina Mafunzo wala Tija Yoyote Kwa Jamii...
 
Ni kwa nini binadamu huwa anapoenda haja kubwa na haja ndogo pia inatoka hata kama ni kidogo,Lakini anapoenda haja ndogo kubwa huwa haitoki?
Ha ha ha ha....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…