Erick MR
Member
- Nov 11, 2022
- 77
- 159
Siku kadhaa zilizopita naibu waziri wa kilimo Anthony Mavunde katika mkutano na wahariri jijini Dodoma uliolenga kutekeleza ushiriki wa vijana katika kilimo cha biashara program itakayo ongeza ajira kwa vijana 3000 nakuongeza ukuaji wa sekta ya kilimo Hadi kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2030.
Nanukuu "Vijana wetu wanatamani kufanya kilimo lakini miundombinu yakuwafanya wakafanya kilimo haikua rafiki sana sisi tumeamua kukifanya kilimo kivutie na vijana watoke kwenye kubeti wakalime kwahiyo tulichoamua tuliweka mazingira rafiki kumfanya kijana avutike akalime tumeamua kusafisha maeneo nakuweka miundombinu .tutawasaidia miundombinu na kuwatafutia masoko " -Anthony Mavunde (Naibu waziri wa kilimo) .
Nanukuu "Vijana wetu wanatamani kufanya kilimo lakini miundombinu yakuwafanya wakafanya kilimo haikua rafiki sana sisi tumeamua kukifanya kilimo kivutie na vijana watoke kwenye kubeti wakalime kwahiyo tulichoamua tuliweka mazingira rafiki kumfanya kijana avutike akalime tumeamua kusafisha maeneo nakuweka miundombinu .tutawasaidia miundombinu na kuwatafutia masoko " -Anthony Mavunde (Naibu waziri wa kilimo) .