Naomba kuuliza wadau wa elimu..

Naomba kuuliza wadau wa elimu..

F 4 REAL

Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
19
Reaction score
0
Hivi ajira mpya za sisi walimu wa digrii tulomaliza mwaka huu mwezi june ni lini ama hizo post za vituo..na walomaliza diploma pia ni lini ajira zao..nawasilisha wakuu..
 
Nadhani itakuwa January kama mwaka huu..coz na mwaka jana wamefanya hivyo.
 
Back
Top Bottom