Kichwa cha habari hapo juu cha husika Wakuu hivi kuna wale wenzetu walemavu wanakua kama wamevimba Mgongoni inakua kama kibwongo hivi napenda kujua hivi wanaweza wakabeba mimba na kujifungua vizuri tu bila matatizo?
Mwenye uelewa vizuri naomba basi msaada wa kunielewesha