Naomba kuuliza walioomba UDOM, BAEd(2014)

Meliboy

New Member
Joined
Aug 22, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Kipindi tunatuma maombi kwenye TCU guidebook, BAED ilikuwa na mkopo, lakn uki login kwenye profile yako, utakuta kwenye chart ya possible loan pameandkwa 0,

what is this!?
 
Kipindi tunatuma maombi kwenye TCU guidebook,BAED ilikuwa na mkopo,lakn ukilog in kwenye profile yako,utakuta kwenye chart ya possible loan pameandkwa 0,what is this!!!!!!?

kweli kaka kabisa mwenyewe nimeingia jana nikakuta hvyo nikapanic .lakini nahsi mtandao utakuwa hujatulia tu.na kuhusu mkopo utakuwepo tu coz ni priority hyo
 
Walimu wote wanpataga mikopo karibu udom kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…