MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 886
Naombeni msaada jamani, dada yangu amechaguliwa kidato cha tano Loreza Sec-Mbeya, hatujapata joining instruction naomba kujua mahitaji ya muhimu na aina ya sare ili nimuandalie. Naombeni msaada huo.