Naomba kuulza

Naomba kuulza

rissou

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
18
Reaction score
1
Mm n mhtm wa kdato cha nne mwaka jana na matokeo kiujumla kuna three moja ya peke yng shulen kwe2.Nmepata three ya 24 Phys:C Chem:C Eng:C Geo:C Math:d Bios:d Ksw:d Hstr:d Cvcs:f . . .Je naweza kwenda form fve؟‎ kama naweza kwenda wanaJf mnanshaur nn niende A-level au niapply chuo?
 
Mm n mhtm wa kdato cha nne mwaka jana na matokeo kiujumla kuna three moja ya peke yng shulen kwe2.Nmepata three ya 24 Phys:C Chem:C Eng:C Geo:C Math:d Bios:d Ksw:d Hstr:d Cvcs:f . . .Je naweza kwenda form fve؟‎ kama naweza kwenda wanaJf mnanshaur nn niende A-level au niapply chuo?
kwanza shukuru mungu ngugu yangu 3 moja shule nzima yaani hamna 1 wala 2.ila twenzetu chuo mwenzangu tukapige afya waache hao wa a level itakuwa vp baada ya miaka 2 hususani wale wenye uwezo wa kawaida yaani anaenda kupiga pcb au pcm kwa c c c
 
kama kwenu ni kipato cha chini afu mpo utitiri bora chuo lakini kwa level ya form four badaye utajutia kutokwenda advance .
Ushauri nenda kasome upandako wewe
 
ila twenzetu chuo mwenzangu tukapige afya
unadhani chuo utaenda kukua??
waache hao wa a level itakuwa vp baada ya miaka 2
haya ni maswala magumu kutabirka....utadhani kwamba chuo kuna unafuu lakin nenda ukajionee(sio kwamba nakutishia bali ndio ukweli) na kama unaenda "kupiga afya" uta graduate mapema mno!!!
hususani wale wenye uwezo wa kawaida yaani anaenda kupiga pcb au pcm kwa c c c
kwani kuna uwezo wa juu na wa chini??? unaweza ukaenda ha na C D C lakin mwisho wasiku ukatoka na div1 nzuri na wewe uliyeenda huko chuo semister ya kwanza tu ukarudi nyumbani!!!
USHAURI:
HAYA NI MAMBO AMBAYO HUYAJUI YATAKUAJE NI VYEMA UKATULIA NA KUONA KULIKO KUONA HAO WA FORM 6 KAMA WAMEPOTEZA!!
 
Mm n mhtm wa kdato cha nne mwaka jana na matokeo kiujumla kuna three moja ya peke yng shulen kwe2.Nmepata three ya 24 Phys:C Chem:C Eng:C Geo:C Math:d Bios:d Ksw:d Hstr:d Cvcs:f . . .Je naweza kwenda form fve؟‎ kama naweza kwenda wanaJf mnanshaur nn niende A-level au niapply chuo?
KWELI UMEMALIZA FORM4!!! na mtindo huu utakugharimu sana....jirekebishe!!!
 
nawashukuru wanajamvi wote kwa mchango wenu lakini bado amjaniambia kama naweza kuchaguliwa kwenda advance au laa
 
nawashukuru wanajamvi wote kwa mchango wenu lakini bado amjaniambia kama naweza kuchaguliwa kwenda advance au laa
hapo ndugu yangu una asilimia 98% kwenda advanse sababu ya matokeo yenyewe
 
Back
Top Bottom