Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wadau. Kuna bidhaa nimeiona alibaba lakini naona hapo dukani inauzwa kwa bei ya jumla.nami nataka kwa reja reja.
Nataka kumpata mtu wa uhakika aliyeko china mwenye ndugu hapa dar nimuagizie huko guangzhou ndiko duka kampuni husika ilipo.
Mwenye mtu wa uhakika naomba tuwasioiane inbox tujue tunafanyaje.maana najua matapeli wapo wengi sana kwa sasa
Nataka kumpata mtu wa uhakika aliyeko china mwenye ndugu hapa dar nimuagizie huko guangzhou ndiko duka kampuni husika ilipo.
Mwenye mtu wa uhakika naomba tuwasioiane inbox tujue tunafanyaje.maana najua matapeli wapo wengi sana kwa sasa