Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Itaje ni Ni bidhaa gani ili tujue kam anaweza kuinunua na kuja nayo...wapo wengi tu tena mwingine ameondoka jana baada ya week mbili atarudi.
Ni viatu.
Wadau. Kuna bidhaa nimeiona alibaba lakini naona hapo dukani inauzwa kwa bei ya jumla.nami nataka kwa reja reja.
Nataka kumpata mtu wa uhakika aliyeko china mwenye ndugu hapa dar nimuagizie huko guangzhou ndiko duka kampuni husika ilipo.
Mwenye mtu wa uhakika naomba tuwasioiane inbox tujue tunafanyaje.maana najua matapeli wapo wengi sana kwa sasa
Huelewi unachokitaka utakua tapeli wewe.viatu viatu gani?vya kike vya kiume?pure leather product au vya aina gani? unataka kuulizwa maswali utazania mimi ndiyo mwenye shida..
dah, umejileta mwenyewe wacha upigwe
Mtafute faiza all inta ndio Kaz anayofanya na kwa sasa yupo china.kwa maelezo zaidi ingia instagram.
Chizi kuwa makini usije ukapigwa.
Wadau. Kuna bidhaa nimeiona alibaba lakini naona hapo dukani inauzwa kwa bei ya jumla.nami nataka kwa reja reja.
Nataka kumpata mtu wa uhakika aliyeko china mwenye ndugu hapa dar nimuagizie huko guangzhou ndiko duka kampuni husika ilipo.
Mwenye mtu wa uhakika naomba tuwasioiane inbox tujue tunafanyaje.maana najua matapeli wapo wengi sana kwa sasa
Nami=namimi
Nimuagizie= nimuagize
Ilipo=ipo
Tuwasioiane=tuwasiliane
Mkuu kuhusu lugha tusichekane hakika nyani haoni kundule