Naomba kuwafahamu Ten (10) first members of JF

Hivi upo weye
Nipo, ningekufa ungepata taarifa hapo Twita.
Congz kwa Madame B na huyu agent wakike Evelyne salt
Asante sana mkuu.
Tuko pamoja
You are good in promotion strategies
Hahahha....Uzalendo huanzia nyumbani
Umetisha bila kinyago
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha.....haya bhana
List imefungwa
Tena na kufuli la chuma na mlango wa zege, hawatoki mpaka kiama
Hahahh Madame B so member wa mwanzoni au wazee ndio tunaitwa Makupuku?! Interesting
Hahahah....sio hivo bhana mkuu.
1 na 2 ni sie, ila 3 to 10 ndo nyie
Shogaa upo!
Nipo na nimejaa tele mwaya.
Hivi kule bado upo?
 
Nipo sana my dear,si ndo ukatukimbia moja kwa zote
 
Hahahahaha March 2008 nilikuepo wakati huo internet ya manati ushenzi
 
Valentine upo mkwe nifikishie salam kwa bazaz Madame B
 
Mkuu tuliencounter muda fulan miaka ya juzi if your mem saves you right.....
 
Nipo sana my dear,si ndo ukatukimbia moja kwa zote
Hahaha....wala sijawakimbia wapendwa wangu.
Unajua nimejikuta tu naangukia kwenyebu-busy.
Ila sa hivi nikiingia, sichomoki, maana nimewamiss sana kule aisee.
Wape hi woote, siku itafika nitakuja shoga
Ubize huuuu
Valentine upo mkwe nifikishie salam kwa bazaz Madame B
Hahahha....u-busy gani unakuweka wewe?
Kama waume zenu hawataki muingie humu mseme, hatutaki kusuluhisha kesi shost.
Salamu zangu zimefika....asante.
Ubazazi sa hivi nimewaachia members wa makapuku...hahahahha
Mkuu tuliencounter muda fulan miaka ya juzi if your mem saves you right.....
Eeeeeee.....bas sawa!!!
 
Sawa mwaya shogaa
 
Hahahahaha March 2008 nilikuepo wakati huo internet ya manati ushenzi
Hongera sana!JF wanatakiwa angalau wakupe share au tunzo ya kua Member wa mda mrefu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…