Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Nipo, ningekufa ungepata taarifa hapo Twita.Hivi upo weye
Asante sana mkuu.Congz kwa Madame B na huyu agent wakike Evelyne salt
Tuko pamoja
Hahahha....Uzalendo huanzia nyumbaniYou are good in promotion strategies
Hahahaha.....haya bhanaUmetisha bila kinyago
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena na kufuli la chuma na mlango wa zege, hawatoki mpaka kiamaList imefungwa
Hahahah....sio hivo bhana mkuu.Hahahh Madame B so member wa mwanzoni au wazee ndio tunaitwa Makupuku?! Interesting
1 na 2 ni sie, ila 3 to 10 ndo nyie
Nipo na nimejaa tele mwaya.Shogaa upo!
Hivi kule bado upo?