Elections 2010 Naomba kuwajua waliotangaza nia kugombea ubunge jimbo la ukonga na ilala

Elections 2010 Naomba kuwajua waliotangaza nia kugombea ubunge jimbo la ukonga na ilala

Joined
Apr 29, 2009
Posts
5
Reaction score
0
Wana JF naombeni mwenye kuwajua wanaotarajia kugombea ubunge jimbo la Ukonga na Ilala ikibidi nawasifu wao.

Ninatanguliza shukrani zangu za dhati
 
Inategemewa Makongoroo Mahanga atasimama tena jimbo la Ukonga. Kuhusu wasifu wake...tafadhali tembelea tovuti ya Bunge.
 
Inategemewa Makongoroo Mahanga atasimama tena jimbo la Ukonga. Kuhusu wasifu wake...tafadhali tembelea tovuti ya Bunge.


Phares udumu daima, Huyo mtoa rushwa kajichokea zake Plz naomba mwenye taarifa za wote wanaogombea wandugu mnimwagia hapa.
 
Back
Top Bottom