NAOMBA KUWASILISHA

nawacheka hihihihiiiii.... tarehe 5 june Kombe liaingia dodoma kutokea Dar es Salaam likiwa limetoka hukoooo algeria... kama hauamini subiri uone
 
nawacheka hihihihiiiii.... tarehe 5 june Kombe liaingia dodoma kutokea Dar es Salaam likiwa limetoka hukoooo algeria... kama hauamini subiri uone
.....
 
nawacheka hihihihiiiii.... tarehe 5 june Kombe liaingia dodoma kutokea Dar es Salaam likiwa limetoka hukoooo algeria... kama hauamini subiri uone
Endelea kuota tu,usje ukanya tu
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania.
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…