Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 893
- 1,021
Sheria
Niwaandikie tenzi, au naliwe shairi
Mpate na kulienzi, na mtoe ushauri
Mimi naitwa mkwezi, nasema nilofikiri
Naomba kuwauliza, machache kwa hizi beti
Na mpate kunijuza, haraka niende beti
Hawa wapo kutufunza, si kutupa tashtiti
Jamii yawaogopa, uhalifu haukomi
Kunao hao mapapa, wanaotupa vichomi
Wanatupiga mabapa, wajidai kwa uchumi
Wasimamia sharia, waivunjaje sharia
Akiumia maria, atalia saadia
Moyoni ninaumia, sina wa kunililia
Nakomea hapa hapa, nisije chana mkeka
Bado sinazo chapaa, ndo nafanya heka heka
Fikiri sitoke kapa, jibu muachie kaka
Abuuabdillah [emoji3578]
0744883353
Jumaomari5@gmail.com [emoji1241]
Niwaandikie tenzi, au naliwe shairi
Mpate na kulienzi, na mtoe ushauri
Mimi naitwa mkwezi, nasema nilofikiri
Naomba kuwauliza, machache kwa hizi beti
Na mpate kunijuza, haraka niende beti
Hawa wapo kutufunza, si kutupa tashtiti
Jamii yawaogopa, uhalifu haukomi
Kunao hao mapapa, wanaotupa vichomi
Wanatupiga mabapa, wajidai kwa uchumi
Wasimamia sharia, waivunjaje sharia
Akiumia maria, atalia saadia
Moyoni ninaumia, sina wa kunililia
Nakomea hapa hapa, nisije chana mkeka
Bado sinazo chapaa, ndo nafanya heka heka
Fikiri sitoke kapa, jibu muachie kaka
Abuuabdillah [emoji3578]
0744883353
Jumaomari5@gmail.com [emoji1241]