Naomba kwa anayejua taratibu za kupata vibali vya kufuga kwale kanga na mbuni wizara ya maliasili na

Naomba kwa anayejua taratibu za kupata vibali vya kufuga kwale kanga na mbuni wizara ya maliasili na

SEPO

Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
53
Reaction score
16
Jamani nisaidieni namna ya kupata kibali kwa urahisi maliasili mnrt nataka kufuga kwale na mbuni tafadahali nisaidieni.nasikia kabla hujaanza kufuga lazima uwe nacho please wadau mnaojua
 
Je kufuga hao ndegi inahitaji kibali? Si unafuga tu kama vile kuku, njiwa, n.k. Mimi naweza kuwa mjinga.
 
Ni kweli unahitaji kibali. Andika barua, eleza unachotaka kufanya, ambatanisha na business plan yako, hati ya umiliki wa eneo au shamba unalotaka kutumia kufuga. Watakuja kufanya survey kama wataridhishwa na eneo na business plan utakuwa granted permit ya wildlife farming. Kuna jamaa yangu huko arusha alifanya hivyo na akafanikiwa.
 
Back
Top Bottom