Naomba kwa mtu mwenye kujua mtaala wa vyuo vya ualimu tanzania ngazi ya cheti anisaidie.

Joel cole

Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
42
Reaction score
5
heshima yenu wakuu,
kichwa cha uzi hapo juu kinajieleza ,naomba kwa mwenye kujua mtaala mpya wa vyuo vya ualimu tz mwaka 2013 /2014 anijuze au anifumbue macho . nawasirisha
 
heshima yenu wakuu,
kichwa cha uzi hapo juu kinajieleza ,naomba kwa mwenye kujua mtaala mpya wa vyuo vya ualimu tz mwaka 2013 /2014 anijuze au anifumbue macho . Nawasirisha

mtaala wa somo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…