Nampa baraka zote na kumsindikiza airport..
Heeeh! Kumbe ni wanaume only?!
Kwa mfano inatokea mkeo au mpenzi wako anakuletea taarifa kwamba ameteuliwa na kampuni anayofanyia kazi akasome nje ya nchi, inaweza ikawa Marekani, Canada au kwingineko ambapo itamlazimu akae huko kwa miaka miwili mpaka amalize kozi yake. Lakini atakuwa anarudi likizo kila mwaka kwa mwezi mmoja.
Hebu niambieni kama inakutokea wewe unafanyaje?
Nafatana nae.
ngoja nikapekue nione, nimesahau kama me au ke.
Mambo lakini.
Inategemea mpo kwenye stage gani kwenye ndoa.Kwa mfano inatokea mkeo au mpenzi wako anakuletea taarifa kwamba ameteuliwa na kampuni anayofanyia kazi akasome nje ya nchi, inaweza ikawa Marekani, Canada au kwingineko ambapo itamlazimu akae huko kwa miaka miwili mpaka amalize kozi yake. Lakini atakuwa anarudi likizo kila mwaka kwa mwezi mmoja.
Hebu niambieni kama inakutokea wewe unafanyaje?