Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Mbona ishu nyepesi sana? Siyo tu namruhusu bali pia nampongeza na kumsindikiza eapoti kuhakikisha pipa alilopanda limetokomea mawinguni..... Freedom is coming tomorrow! Source: sarafina
yeah, hilo ndio tatizo alilokabiliana nalo jamaa yangu.......
Mbona ishu nyepesi sana? Siyo tu namruhusu bali pia nampongeza na kumsindikiza eapoti kuhakikisha pipa alilopanda limetokomea mawinguni..... Freedom is coming tomorrow! Source: sarafina
Mimi ni marufuku katika ndoa yangu kukaa mbali na waifu zaidi ya miezi miwili, achilia mbali kusoma hata kama anapatiwa ajira ya kutandika kitanda cha Obama marekani kama ni nje ya hiyo katiba hapo juu ni marufuku.
Nazani nimeeleweka.
Maandiko yamehimiza tuishi na kinamama kwa machale na ze boss amegusia hapo juu,
far stick never kill snake.
Nimemaliza