PLAZARO
Member
- Aug 21, 2015
- 43
- 36
Habari Ndugu zangu..
Nimekuwa nikisoma vitabu mbalimbali kupitia maktaba za serikali, ila nmepitia online pia. Kusoma ni jadi yangu na kupitia vitabu najiona kama naongeza vitu vingi sana ambavyo pengine nisingevijua kabisa.
Kwa yeyote anayejua site au ana pdf ya vitabu tofauti kuhusu jamii, personal development, siasa, historia na mahusiano naomba kushare hapa. Site nilizopitia ni chache lakini najua kuna watu wanajua zaidi humu na ni wasomaji wazuri tupeane ushauri kidogo.
Kama unavyo usisite kudondosha hapa au PM tu.
Elimu vitabuni..
Nimekuwa nikisoma vitabu mbalimbali kupitia maktaba za serikali, ila nmepitia online pia. Kusoma ni jadi yangu na kupitia vitabu najiona kama naongeza vitu vingi sana ambavyo pengine nisingevijua kabisa.
Kwa yeyote anayejua site au ana pdf ya vitabu tofauti kuhusu jamii, personal development, siasa, historia na mahusiano naomba kushare hapa. Site nilizopitia ni chache lakini najua kuna watu wanajua zaidi humu na ni wasomaji wazuri tupeane ushauri kidogo.
Kama unavyo usisite kudondosha hapa au PM tu.
Elimu vitabuni..