L Livejr JF-Expert Member Joined Feb 6, 2014 Posts 2,070 Reaction score 2,794 Aug 4, 2014 #1 Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA"
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Aug 4, 2014 #2 Livejr said: Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA" Click to expand... Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake).
Livejr said: Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA" Click to expand... Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake).
steveson manumbu JF-Expert Member Joined Apr 1, 2014 Posts 887 Reaction score 178 Sep 4, 2014 #3 Nyani Ngabu said: Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake). Click to expand... hujatoa maana au fasiri ya neno bali umetoa tafsiri mkuu ya neno.
Nyani Ngabu said: Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake). Click to expand... hujatoa maana au fasiri ya neno bali umetoa tafsiri mkuu ya neno.
steveson manumbu JF-Expert Member Joined Apr 1, 2014 Posts 887 Reaction score 178 Sep 4, 2014 #4 TAHAJIA ni uwakilishaji wa sauti za herufi za maneno katika maandishi.
balimar JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 7,743 Reaction score 13,657 Apr 12, 2019 #5 Utamshi wa maneno kama inavyokubalika