Naomba maana ya "The marshal plan by USA"

Naomba maana ya "The marshal plan by USA"

My Joash

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
270
Reaction score
214
Wakuu habari za mchana, naomba anayejua kuhusu hii marshal plan ya US baada ya vita kuu ya pili ya dunia ilikuwa ni nini haswa, anisaidie, ikiwezekana kwa Kiswahili nitashukuru sana.
 
QUOTE="MIGNON, post: 35592955, member: 20015"]
Mpango wa kabambe wa America katika kuifufua upya Ulaya baada ya vita kuu ya pili.
[/QUOTE]
Asante sana boss,America ilifanya nini ili kufufua upya ulaya?
 
Nchi za Ulaya zilifilisika kutokana na kuwa uwanja mkuu vita

Kuanzia nchi za Scandinavia, Mainland Europe mpaka Uingereza kote huko vita vikuu vya pili vya dunia vilirindima kwelikweli

Bara la Ulaya ndio bara lililoshuhudia mapambano makubwa na makali ya vita, bara la pili kwa kuathirika lilikuwa Asia kwa mapambano ila si kwa kiasi kikubwa kama Ulaya

Vita huwa vinasababisha hela ya nchi inapopiganwa kuwa toilet paper tu hii ndio sababu wakawa wanahitaji mikopo ili kujinasua na ugumu wa maisha ya vita, maeneo yanayopiganwa huwa hayalimi watu hawafanyi kazi au biashara n.k hivyo huwa ni majanga zaidi ya majanga

Mwisho je ni kwa sababu gani USA alikuwa pushed kuwakopesha hawa Weupe wenzake? Jawabu ni kuwa baada ya vita kuisha yaliibuka mataifa mawili yenye nguvu sana US na USSR na yote ndio yalikuwa vizuri kiuchumi peke yake na kama tunavyojua mafahari huwa hawaivi chungu kimoja

sasa kama US asingetoa pesa kuwakopesha washirika wenzie waliokuwa wamefilisiwa na vita wajikwamue Inamaana wangesaidiwa na USSR na wakaangukia mikononi mwa ideology adui na Ubepari ya ukomunisti wakawepo maadui wengi dhidi ya USA waliokuwa marafiki wakawa sasa maadui na hii ni hatari

And so walilijua mapema hili wakachanga karata zao wakafanya jambo sahihi
 
Nchi za Ulaya zilifilisika kutokana na kuwa uwanja mkuu vita

Kuanzia nchi za Scandinavia, Mainland Europe mpaka Uingereza kote huko vita vikuu vya pili vya dunia vilirindima kwelikweli

Bara la Ulaya ndio bara lililoshuhudia mapambano makubwa na makali ya vita, bara la pili kwa kuathirika lilikuwa Asia kwa mapambano ila si kwa kiasi kikubwa kama Ulaya

Vita huwa vinasababisha hela ya nchi inapopiganwa kuwa toilet paper tu hii ndio sababu wakawa wanahitaji mikopo ili kujinasua na ugumu wa maisha ya vita, maeneo yanayopiganwa huwa hayalimi watu hawafanyi kazi au biashara n.k hivyo huwa ni majanga zaidi ya majanga

Mwisho je ni kwa sababu gani USA alikuwa pushed kuwakopesha hawa Weupe wenzake? Jawabu ni kuwa baada ya vita kuisha yaliibuka mataifa mawili yenye nguvu sana US na USSR na yote ndio yalikuwa vizuri kiuchumi peke yake na kama tunavyojua mafahari huwa hawaivi chungu kimoja

sasa kama US asingetoa pesa kuwakopesha washirika wenzie waliokuwa wamefilisiwa na vita wajikwamue Inamaana wangesaidiwa na USSR na wakaangukia mikononi mwa ideology adui na Ubepari ya ukomunisti wakawepo maadui wengi dhidi ya USA waliokuwa marafiki wakawa sasa maadui na hii ni hatari

And so walilijua mapema hili wakachanga karata zao wakafanya jambo sahihi
 
Mpango wa Marekani kusaidia kujenga uchumi wa nchi za ulaya zipizoathirika na vita kuu ya pili ya dunia.General Marshal alikuwa waziri wa mambo ya nje ya Marekani na ndiye aliyeasisi mpango huu ndo ukaitwa kwa jina lake.
Mpango ulianza kutekelezwa 1947 na ilitarajiwa us d bil.13 zitumike kwa kuanzia ambapo nchi za ulaya zilipata fedha,Wataalamu,mitambo,madawa,chakula ,maliguafi nk.Ulaya ilitakiwa kuungana pamoja na na kufungua masoko pamoja na kuachia makoloni katika kulichojulikana kama open door policy.
 
Mpango wa Marekani kusaidia kujenga uchumi wa nchi za ulaya zipizoathirika na vita kuu ya pili ya dunia.General Marshal alikuwa waziri wa mambo ya nje ya Marekani na ndiye aliyeasisi mpango huu ndo ukaitwa kwa jina lake.
Asante sana boss,nimepata hapo mwangaza
 
Mpango wa Marekani kusaidia kujenga uchumi wa nchi za ulaya zipizoathirika na vita kuu ya pili ya dunia.General Marshal alikuwa waziri wa mambo ya nje ya Marekani na ndiye aliyeasisi mpango huu ndo ukaitwa kwa jina lake.
Mpango ulianza kutekelezwa 1947 na ilitarajiwa us d bil.13 zitumike kwa kuanzia ambapo nchi za ulaya zilipata fedha,Wataalamu,mitambo,madawa,chakula ,maliguafi nk.Ulaya ilitakiwa kuungana pamoja na na kufungua masoko pamoja na kuachia makoloni katika kulichojulikana kama open door policy.
Shukrani sana mkuu
 
Nchi za Ulaya zilifilisika kutokana na kuwa uwanja mkuu vita

Kuanzia nchi za Scandinavia, Mainland Europe mpaka Uingereza kote huko vita vikuu vya pili vya dunia vilirindima kwelikweli

Bara la Ulaya ndio bara lililoshuhudia mapambano makubwa na makali ya vita, bara la pili kwa kuathirika lilikuwa Asia kwa mapambano ila si kwa kiasi kikubwa kama Ulaya

Vita huwa vinasababisha hela ya nchi inapopiganwa kuwa toilet paper tu hii ndio sababu wakawa wanahitaji mikopo ili kujinasua na ugumu wa maisha ya vita, maeneo yanayopiganwa huwa hayalimi watu hawafanyi kazi au biashara n.k hivyo huwa ni majanga zaidi ya majanga

Mwisho je ni kwa sababu gani USA alikuwa pushed kuwakopesha hawa Weupe wenzake? Jawabu ni kuwa baada ya vita kuisha yaliibuka mataifa mawili yenye nguvu sana US na USSR na yote ndio yalikuwa vizuri kiuchumi peke yake na kama tunavyojua mafahari huwa hawaivi chungu kimoja

sasa kama US asingetoa pesa kuwakopesha washirika wenzie waliokuwa wamefilisiwa na vita wajikwamue Inamaana wangesaidiwa na USSR na wakaangukia mikononi mwa ideology adui na Ubepari ya ukomunisti wakawepo maadui wengi dhidi ya USA waliokuwa marafiki wakawa sasa maadui na hii ni hatari

And so walilijua mapema hili wakachanga karata zao wakafanya jambo sahihi
Asante sana kiongozi
 
QUOTE="mkulu senkondo, post: 35621399, member: 417085"]
Halafu kuna mdau anataka masomo ya History, Kiswahili & Civics yaondolewe mashuleni!
[/QUOTE]
Yasiondolewe bana
 
Back
Top Bottom