Naomba maelekezo Jinsi ya kupika Uji wa mchele

Naomba maelekezo Jinsi ya kupika Uji wa mchele

stable woman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
3,884
Reaction score
4,479
Habari?
Natumai mu wazima, kwa heshima na taadhima naomba kujuzwa namna ya kuandaa Uji Wa mchele!

cc farkhina mpishi maridadi
 
kienyeji hii

Andaa mchele, usafishe ipasavyo

weka jikoni na maji kiasi

ongeza chumvi/sukari kutegemea na unachopenda

acha kwa muda hadi mchele uive sana na maji yaishe

ongeza maziwa fresh na blueband kidogo

kama ni mpenzi wa viungo waweza ongeza iliki ya unga kwa harufu nzuri

koroga ili vichanganyike vizuri na kuwa laini zaidi

acha maziwa yachemke pia, kuwa mwangalifu isiungue kwa chini, itakuwa na harufu mbaya

shusha tayari kwa kuliwa

Wepesi wa uji uzingatie umri wa walaji, kama ni watoto wadogo sana, iwe nyepesi na laini sana, punje zisije mkaba kooni

Ni lishe nzuri kwa watoto, hasa sie tunaowaacha na ma hg, walau kina kaa tumboni kwa muda, hata akimsahau sahau ana survive.
 
kienyeji hii

Andaa mchele, usafishe ipasavyo

weka jikoni na maji kiasi

ongeza chumvi/sukari kutegemea na unachopenda

acha kwa muda hadi mchele uive sana na maji yaishe

ongeza maziwa fresh na blueband kidogo

kama ni mpenzi wa viungo waweza ongeza iliki ya unga kwa harufu nzuri

koroga ili vichanganyike vizuri na kuwa laini zaidi

acha maziwa yachemke pia, kuwa mwangalifu isiungue kwa chini, itakuwa na harufu mbaya

shusha tayari kwa kuliwa

Wepesi wa uji uzingatie umri wa walaji, kama ni watoto wadogo sana, iwe nyepesi na laini sana, punje zisije mkaba kooni

Ni lishe nzuri kwa watoto, hasa sie tunaowaacha na ma hg, walau kina kaa tumboni kwa muda, hata akimsahau sahau ana survive.

Wow!! Thanks Kongosho! Umejuaje nataka nimpikie mwanangu!
 
Last edited by a moderator:
Unapikwaje?

Mahitaji

Oats

Maziwa

Hiliki

Fenugreek (sio lazima) ila kwa breastfeeding mama inasaidia lactation


Namna ya kutaarisha....

Chemsha maji

Weka oats zichemke hadi kuwiva

Add maziwa na hiliki....acha ichemke kdg

Epua

Tayar kwa kuliwa.....

Note:kama uji huu anakunywa mtoto zisage oats kwanza ndipo uanze kupika uji
 
Hahhahaha. ..yaaan jaan umenichekesha hivo ulivyomkatia huyo jamaa... pengine yy haupendi tuu usimwite muongo...lol

Hahahahaha nimemtania tu si unajua mimi most of the time napenda matani lol akikasirika shauri ake akitaka kunipiga makonzi si utaniombea jaan ako
 
Mahitaji

Oats

Maziwa

Hiliki

Fenugreek (sio lazima) ila kwa breastfeeding mama inasaidia lactation


Namna ya kutaarisha....

Chemsha maji

Weka oats zichemke hadi kuwiva

Add maziwa na hiliki....acha ichemke kdg

Epua

Tayar kwa kuliwa.....

Note:kama uji huu anakunywa mtoto zisage oats kwanza ndipo uanze kupika uji
swadakta, ni mtamu sana huu
 
Mahitaji

Oats

Maziwa

Hiliki

Fenugreek (sio lazima) ila kwa breastfeeding mama inasaidia lactation


Namna ya kutaarisha....

Chemsha maji

Weka oats zichemke hadi kuwiva

Add maziwa na hiliki....acha ichemke kdg

Epua

Tayar kwa kuliwa.....

Note:kama uji huu anakunywa mtoto zisage oats kwanza ndipo uanze kupika uji

Nzuri hii, nimeipenda
 
Back
Top Bottom