F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Aug 13, 2014 #21 mshana jr said: Umenikumbusha mbali sana farkhina uji wa mchele was my favourite meal Click to expand... Owh mie napenda wa ngano nzima na oats tena pawe na maandaz pembeni
mshana jr said: Umenikumbusha mbali sana farkhina uji wa mchele was my favourite meal Click to expand... Owh mie napenda wa ngano nzima na oats tena pawe na maandaz pembeni
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Aug 13, 2014 #22 farkhina said: Owh mie napenda wa ngano nzima na oats tena pawe na maandaz pembeni Click to expand... Yeah hata huo mtamu ajabu na afya si haba
farkhina said: Owh mie napenda wa ngano nzima na oats tena pawe na maandaz pembeni Click to expand... Yeah hata huo mtamu ajabu na afya si haba
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Aug 13, 2014 #23 mshana jr said: Yeah hata huo mtamu ajabu na afya si haba Click to expand... Tena yawe ya ku bake kama haya lol .....nikubakshie? Attachments 1407954361038.jpg 46.8 KB · Views: 218
mshana jr said: Yeah hata huo mtamu ajabu na afya si haba Click to expand... Tena yawe ya ku bake kama haya lol .....nikubakshie?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Aug 14, 2014 #24 farkhina said: Tena yawe ya ku bake kama haya lol .....nikubakshie? Click to expand... Loh sana tuu ila na my usimsahau pls
farkhina said: Tena yawe ya ku bake kama haya lol .....nikubakshie? Click to expand... Loh sana tuu ila na my usimsahau pls
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Aug 17, 2014 #25 Wakati nasoma asubuhi ilikuwa lazima ninywe uje wa mchele na ndio niende shule. Nalog off
badiebey JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 5,875 Reaction score 3,112 Aug 17, 2014 #26 mi na utu uzima huu haipiti wiki sijanywa uji wa mchele
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Aug 17, 2014 #27 Waxhina pia wanaupenda sana wanaita shi fan ila wao wanachemsha tuu bila kuweka chochote hata chumvi kidogo hakuna hivyo unakuwa hauna ladha kabisa
Waxhina pia wanaupenda sana wanaita shi fan ila wao wanachemsha tuu bila kuweka chochote hata chumvi kidogo hakuna hivyo unakuwa hauna ladha kabisa