mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Kuna hawa wanajiita MKIKITA naona nao wana project kama za Namaingo we unatoa fees wanakuchukulia mkopo wanakulimia wanakata gharama za ulimaji na mkopo we eti unapewa faida tu.
Nikitazama naona kama ni Namaingo katika another form naomba mwenye ushuhuda anisaidie
Nikitazama naona kama ni Namaingo katika another form naomba mwenye ushuhuda anisaidie