Naomba maelezo kuhusu Recategorization kwenye suala la ajira

Naomba maelezo kuhusu Recategorization kwenye suala la ajira

SAM MOLE

Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
24
Reaction score
12
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums.

Naomba ushauri na maelezo kuhusu Recategorization kwenye swala la ajira.

Mimi ni Clinical Officer lakini pia ni Mwalimu wa mathematics Ngazi ya degree. Niliomba ajira za Ualimu degree (mathematics) na nimepangiwa post tayari.

Niliomba ajira hii baada ya account ya Ajira portal kuleta shida na kuninyima fursa ya kuomba utabibu.

Je Itawezekana Mimi kubadilisha kada ya Ajira kutoka education kwenda Afya kulingana vigezo nilivyoweka? Na itachukua muda Gani kufanya Recategorization kama Itawezekana?

Naombeni ushauri wadau.
 
Habari za muda huu wadau wa jamii forum.
Naomba ushauri na maelezo kuhusu Recategorization kwenye swala la ajira.
Mimi ni Clinical Officer lakini pia ni Mwalimu wa mathematics Ngazi ya degree. Niliomba ajira za Ualimu degree (mathematics) na nimepangiwa post tayari. Niliomba ajira hii baada ya account ya Ajira portal kuleta shida na kuninyima fursa ya kuomba utabibu.
Je Itawezekana Mimi kubadilisha kada ya Ajira kutoka education kwenda Afya kulingana vigezo nilivyoweka? Na itachukua muda Gani kufanya Recategorization kama Itawezekana?

Naombeni ushauri wadau.
Heee! Nenda karipoti kwanza...kwahiyo unataka kurudi diploma?
 
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums.

Naomba ushauri na maelezo kuhusu Recategorization kwenye swala la ajira.

Mimi ni Clinical Officer lakini pia ni Mwalimu wa mathematics Ngazi ya degree. Niliomba ajira za Ualimu degree (mathematics) na nimepangiwa post tayari.

Niliomba ajira hii baada ya account ya Ajira portal kuleta shida na kuninyima fursa ya kuomba utabibu.

Je Itawezekana Mimi kubadilisha kada ya Ajira kutoka education kwenda Afya kulingana vigezo nilivyoweka? Na itachukua muda Gani kufanya Recategorization kama Itawezekana?

Naombeni ushauri wadau.
1. Nenda kwanza karipoti kituo cha kazi ulikopangiwa. Hii ni hatua muhimu sana ili uwe ni Mwajiriwa hai. Kumbuka wapo walioajiriwa na wakafariki kabla ya kuripoti Kituo cha kazi(duty station). Unataka udhaniwe hivo kwamba ww ni mmoja wapo?
2. Recategorization anafanyiwa Mwajiriwa aliye kazini Tayari lakini akaenda kusoma/kujiendeleza na amefuzu masomo yake. Kama hicho alichoenda kusomea ni katika Fani hiyo-hiyo ya awali utaweza kuomba kufanyiwa marekebisho ktk ngazi ya mshahara e.g. ulikuwa Dip. holder lakini sasa ww ni Deg. holder ktk fani hiyo. Utafanyiwa recategorization na ngazi ya mshahara itazingatia kwa anayeajiriwa mara ya kwanza bila kuangalia ulikuwa umefikia ngazi gani ya mshahara kipindi ukiwa na Dip. i.e ni kama unaanza moja.
 
Back
Top Bottom