Naomba majibu kuntu ya swali hili?

Naomba majibu kuntu ya swali hili?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Screenshot_20240731-224700.png
 
Majina hayo yameandikwa kiingereza zaidi kuliko uasili wao.Hao wote wana majina ya Kiebrania.Hutamkwa na kuandikwa kwa asili yao ya kiebrania.
 
Hao hawapo kule kabisa hata mitume yao ni changamoto ,majina kama Paulo halipo kule middle east
 
Back
Top Bottom