Kiinglish ni kasheshe ya dunia hiiIf there are no such individuals there now, surely there were none then.
Kwanza tuanze na wewe mwenyewe. Umelipata wapi jina Jesus wakati hata middle East halipo? Ndio tutoe ufafanuzi wa hayo mengine
Hayo majina ni ya kiingereza, ila yana version yake ya Kiebrania. Mfano John, katika lugha nyingine ni Jean, Giovani, Yahya, Yohane nk. Ukiangalia hata hilo swali lenyewe utaona lipo kwa Kiingereza 😂