Ha ha ha! Umepanick! Kawaida tu bosi, hizo hasira zinaonyesha fika huajajenga (umechelewa kujenga), maana umepandisha jazba na umechukulia personal.
Majengo mengi makubwa makubwa unayoyaona mjini yana mikopo, wewe unapanick mtu kuulizwa kama amekopa!