MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Inategemea na aina ya mpauo, paa refu au fupi, corner ngapi. Mambo ni mengi tafuta fundi wa karibu akupe uhakikaHabari wakuu,nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.
Plz Mods naomba msihamishe huu uzi jukwaa la ujenzi utachelewa kupata wachangiaji
inategemeana na paaa utaloezekaHabari wakuu,nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.
Plz Mods naomba msihamishe huu uzi jukwaa la ujenzi utachelewa kupata wachangiaji
Hongera mandevu, upunguze hayo mandevu sasa.
Back to the topic design gani wapaua
Mimi niliezeka 13.1 x 9.6 nilitumia mbao 2x3 pekeyake mbao 320, fishabodi mbao 30(aliunganisha zikabebana Moja na nusu), bati nilipiga box profile za alaf bati 130, hapo king post ilinyanyuka mita 4.6Habari wakuu,nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.
Plz Mods naomba msihamishe huu uzi jukwaa la ujenzi utachelewa kupata wachangiaji
Hapo ita fundi afike site apaone myajenge, kwani upo wapi usikute upo nilipo nikupe bro mmoja matata kwenye upauajiMkuu[emoji23][emoji23] toa makadirio,haya mandevu siyanyoi unataka niwe kama embe?
Hapo ita fundi afike site apaone myajenge, kwani upo wapi usikute upo nilipo nikupe bro mmoja matata kwenye upauaji
Mimi niliezeka 13.1 x 9.6 nilitumia mbao 2x3 pekeyake mbao 320, fishabodi mbao 30(aliunganisha zikabebana Moja na nusu), bati nilipiga box profile za alaf bati 130, hapo king post ilinyanyuka mita 4.6
Upana wa nyumba gawanya kwa mbili, baada ya kupata jibu nakushauri fanya adjustments.Kwa paa la kawaida kingpost inabid inyanyuke mita ngap?
mafundi ndo wanajua Hilo swali, ila isizidiwe na kimo Cha boma.Kwa paa la kawaida kingpost inabid inyanyuke mita ngap?
MoshiNipo kimara mkuu huyo jamaa yuko wap yeye
Inategemea na angle unayotaka kuweka, mfano kama unataka uinue paa kwa angle ya 45, urefu wa kingpost unachukua urefu wa tie beam unagawanya kwa 2, ukitaka angle ya 30 unagawanya kwa 3.5, ukitaka angle ya 40 unagawanya kwa 2.5 n.kKwa paa la kawaida kingpost inabid inyanyuke mita ngap?
Watu siku hizi hawana shukran.Inategemea na angle unayotaka kuweka, mfano kama unataka uinue paa kwa angle ya 45, urefu wa kingpost unachukua urefu wa tie beam unagawanya kwa 2, ukitaka angle ya 30 unagawanya kwa 3.5, ukitaka angle ya 40 unagawanya kwa 2.5 n.k
Hii kazi inakula muda kufanya mahesabu, ndio mana watu wanapita kimya kimya sio kwamba hawajui, weka pesa mezani upate makadirio sahihi maana hata ukimuita fundi aje akufanyie mahesabu hatokubali kuja bure bure (labda kazi ya kupaua umpe yeye)
Ikifikia mwenye upande wa umeme tupeane kazi bossHabari wakuu,
Nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.