Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Kwanza samahani kwa kutumia jina la kabila kwenye kichwa cha habari, nimeweka ili kupata maoni barabara sababu mitazamo ya kutorosha binti ili kumuoa inaweza kuwa inatofautiana kati ya kabila na kabila.
Kwa wasukuma ni kitu kinachotokea mara kwa mara kwa hiyo si tatizo sana.
Mr Masanja (30's) kampa ujauzito Manka (20) ambaye anaishi na baba mdogo(Mr. Masawe). Kinachonishangaza huyu binti hataki Masanja aende kwao kujitambulisha anang'ang'ania atoroshwe tu.
Swali langu likabaki, je hii mila ya kutorosha binti ipo kwenye mila za kichaga? Kama ipo ndio njia rahisi kusuluhisha 'case' kama hii?
Nawaza kwa nini binti asimweleze mama yake ili liwe wazi na Masanja akajitambulishe na kumuoa?
Please, msaada!
Kwa wasukuma ni kitu kinachotokea mara kwa mara kwa hiyo si tatizo sana.
Mr Masanja (30's) kampa ujauzito Manka (20) ambaye anaishi na baba mdogo(Mr. Masawe). Kinachonishangaza huyu binti hataki Masanja aende kwao kujitambulisha anang'ang'ania atoroshwe tu.
Swali langu likabaki, je hii mila ya kutorosha binti ipo kwenye mila za kichaga? Kama ipo ndio njia rahisi kusuluhisha 'case' kama hii?
Nawaza kwa nini binti asimweleze mama yake ili liwe wazi na Masanja akajitambulishe na kumuoa?
Please, msaada!