Jamani 20 years bado ni mtoto sana..Msaidie ajue kuwa 10 years from now, hatakuwa na nafasi kama hiyo ya sasa...She will be a hunter in stead.
Msukuma aombe ushauri na msaada haraka ili asije kuingia kwenye mtego wa kule mtoto anayeishi na baba mwingine!!
Babu DC!!