Naomba maujanja ya kureset 6S Tablet

Naomba maujanja ya kureset 6S Tablet

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wakuu mambo vipi

Nina Samsung S6 tablet, sasa nilisahau password so nikaamua kureset

Sasa shida inayokuja after everything inanitaka niingize e mail na password ambayo hiyo password nimesahau

Nikiweka namba ya simu ambayo nilitumia kufungulia hiyo E mail ili nitumiwe link, hakuna link yoyote napata

Je, kuna ujanja wowote wa kuskip hiyo hatua?
 
Back
Top Bottom