Nashukuru mkuu Ila Kama ungenisaidia namba za Simu ningeshukuru maana nipo nje ya DodomaNenda karibu na Nyerere sq yupo jamaa anaitwa mchewe ni jina maarufu sana na njia panda ya Area d kuna mtu anaitwa Takawedo nk.utapata hizo bottle!
Hebu mpigie huyu ni dereva wa taxi atakuunga0713459130Nashukuru mkuu Ila Kama ungenisaidia namba za Simu ningeshukuru maana nipo nje ya Dodoma
Thanks a hundred times 😊0757555999,wholesaller(bia)mshewe,near Nyerere square
Huyu anasema wrong number🤔0757555999,wholesaller(bia)mshewe,near Nyerere square
Yale yale! Kitimoto sijui ni haram! Sijui ina minyoo!! Acha watu wafaidi maisha yao. Masuala ya kupangiana maisha ni ukuda usio na tija! Hela watafute wenyewe, halafu unataka uwapangie cha kula/kunywa!! 🤔bia kamari na riba ni katika biashara alizozilaani Mwenyezi Mungu msipotubu mtakuwa ni watu wa kuhangaika na kufanya biashara hizo hadi mwisho wa uhai wenu.
Pesa utaiona lakin hutojua imetokea dirisha gani
nakukumbusha tu kijana mwenzangu umeshaingia katika mtego wa shetani
Jaribu ya dereva wa taxi,lakini hiyo number ya wakala ni yenyewr,!Huyu anasema wrong number🤔
Safi sana mkuu,dhambi ni nyingi tuu!Yale yale! Kitimoto sijui ni haram! Sijui ina minyoo!! Acha watu wafaidi maisha yao. Masuala ya kupangiana maisha ni ukuda usio na tija! Hela watafute wenyewe, halafu unataka uwapangie cha kula/kunywa!! 🤔
Wivu tubia kamari na riba ni katika biashara alizozilaani Mwenyezi Mungu msipotubu mtakuwa ni watu wa kuhangaika na kufanya biashara hizo hadi mwisho wa uhai wenu.
Pesa utaiona lakin hutojua imetokea dirisha gani
nakukumbusha tu kijana mwenzangu umeshaingia katika mtego wa shetani
Huzini wewe? Mwongo, mnafiki, unachagua dhambi huna lolote.bia kamari na riba ni katika biashara alizozilaani Mwenyezi Mungu msipotubu mtakuwa ni watu wa kuhangaika na kufanya biashara hizo hadi mwisho wa uhai wenu.
Pesa utaiona lakin hutojua imetokea dirisha gani
nakukumbusha tu kijana mwenzangu umeshaingia katika mtego wa shetani
Yale yale! Kitimoto sijui ni haram! Sijui ina minyoo!! Acha watu wafaidi maisha yao. Masuala ya kupangiana maisha ni ukuda usio na tija! Hela watafute wenyewe, halafu unataka uwapangie cha kula/kunywa!! 🤔
Huzini wewe? Mwongo, mnafiki, unachagua dhambi huna lolote.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
nyie wote mna element za kishogaWivu tu