Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Usimkatishe tamaa mwenzako, even with 20 m unaweza kufanya biashara ya kueleweka mradi uwe na malengo. Problem ni kama hiyo saving ya Enny ndo anategemea kwa kila kitu kwa sasa. Biashara ya chakula inalipa na unaweza kuanza kwa amount hiyo.
Habari za kazi wanajamii. Naomba msaada wenu katika jambo hili.
Nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa North Mara na sasa nimepunguzwa kazi, katika pesa nilizolipwa, na mafao yangu ya nssf pamoja na hela niliokuwa nimeweka Benki nina kama milioni 20,000,000.
Nafikiria biashara ya kuanza ili niweze kuendesha maisha yangu na familia kwa ujumla.
Mchango wenu ni muhimu na una maana kubwa katika suala hili.
Ahsateni.
Jinga lingine bana! huna mawazo si unyamaze akili ndogo sana dude.Ongeza mtaji. Mil 20 za madafu is a peanut mazee. I honestly say so.
Jinga lingine bana! huna mawazo si unyamaze akili ndogo sana dude.
Nenda kasali nyuma ya senge..ndiyo akili yako inafanana nao..Ww CHOKO ndo umetoa input gani? Nyambaf mkubwa..