Kaka usijisahau kujituma kama comandoo, ukijakuta mabazazi mengine huko nje yakakusaidia yatakuletea demeji. Wadada wa siku hizi si kihivo, si kama mama zetu, walikuwa wakipenda wamependa, akiolewa kaolewa. sikuhizi utasikia mafiga matatu na mapepo yake. Kuna kicheni paty moja nillichungulia juzijuzi nikagundua si kicheni paty ila ni kicheni mapepo. Imenitoa hata ile stimu ya kuoa.