Nina swali linanitatiza, hivi mke wangu ni ndugu yangu au rafiki yangu?
Tafadhali nisaidie.
both.....
Nina swali linanitatiza, hivi mke wangu ni ndugu yangu au rafiki yangu?
Tafadhali nisaidie.
Mke wako ni Rafiki tu!
both.....
Mke wako ni Rafiki tu!
Nina swali linanitatiza, hivi mke wangu ni ndugu yangu au rafiki yangu?
Tafadhali nisaidie.
Mimi nadhani mwanamke ni rafiki na wala siyo ndugu. Nasema hivi kwasababu ndugu hana substitute, so long as amezaliwa akiwa ndugu yako ni ndugu yako tu! hukupanga wewe awe ndugu yako ila ilitokea wazazi wako ndo wakamzaa hata yeye. Hata akifa pengo haliwezi kuzibwa na mwingine atakayezaliwa.
Kwa upande wa mke, kuna substitute, ikitokea mungu akamuita kabla yangu naweza baadae kuoa mke mwingine na tukapendana kama au hata kuzidi yule wa kwanza. Hata yeye nadhani ananiweka kwenye kundi hilo la urafiki, maana nikitangulia mimi najua pia yeye anaweza kuolewa na bwana mwingine wakapendana zaidi ya mimi na yeye.
Nina swali linanitatiza, hivi mke wangu ni ndugu yangu au rafiki yangu?
Tafadhali nisaidie.
Nina swali linanitatiza, hivi mke wangu ni ndugu yangu au rafiki yangu?
Tafadhali nisaidie.
Nimekusikia ndugu yangu ila bado nasisitiza kuwa ni both rafiki na ndugu kwa misingi ifuatavyo:
1. Hakuna uhusiano complicated ku define kama huu wa mke na mume kama ni ndugu au rafiki.Kwangu mimi ni ngumu kuweka cut off point kuwa huyu ni ndugu tu au rafiki tu.
2. Rafiki wa opposite sex atakuwa na mipaka - hivi ndugu yangu inawezekana vipi huyu rafiki aje akuangalie hadi sehemu nyeti pale say utakapohitaji msaada mathalani kwenye ugonjwa?
3. Ndugu yako pia wa opposite sex - mfano mama yako mzazi au dada yako hawezi kulala na wewe kitanda kimoja au hata kukupa huduma zile zenye kutaka faragha.Nimeshuhudia mama mmoja akimuuguza baba yake mzazi.Kwa vile mumewe hakuwepo, yule mama ilibidi kuomba msaada wa jirani wa kiume kumwogesha baba yule kwa vile mama yule aliona ni kukosa staha kuona utupu wa mzazi wake.
4. Mkeo mnapochanganya damu kwa kuzaa watoto basi undugu hukolea zaidi maana tayari watoto wana damu zenu na vinasaba.
5.Ukizaa na dada yako utakuwa gumzo katika jamii na pia sheria itakutia hatiani.
Kwa msingi wa haya machache ndiyo nikasema mke ni ndugu na rafiki at the same time mradi kila kitu kinabakia sawa.Kifo kikiingia basi kila mmoja wenu anakuwa huru lakini hata pamoja na hayo bado kutakuwa na link ya undugu kama mna watoto.
Mimi nadhani mwanamke ni rafiki na wala siyo ndugu. Nasema hivi kwasababu ndugu hana substitute, so long as amezaliwa akiwa ndugu yako ni ndugu yako tu! hukupanga wewe awe ndugu yako ila ilitokea wazazi wako ndo wakamzaa hata yeye. Hata akifa pengo haliwezi kuzibwa na mwingine atakayezaliwa.
Kwa upande wa mke, kuna substitute, ikitokea mungu akamuita kabla yangu naweza baadae kuoa mke mwingine na tukapendana kama au hata kuzidi yule wa kwanza. Hata yeye nadhani ananiweka kwenye kundi hilo la urafiki, maana nikitangulia mimi najua pia yeye anaweza kuolewa na bwana mwingine wakapendana zaidi ya mimi na yeye.