Naomba mawazo

Buyaga MUSHO

New Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Je wanazuoni wenzangu ebu nisaidie mawazo,elimu yetu watanzania ni utatuzi wa matatizo tuliyonayo wote au ni utatuzi wa mtu mojamoja?
 
wewe kama wewe ulishatatua tatizo lipi kwa kutumia hiyo elimu yako ulionayo..
 
ukiwa na akili ya kuitumia Hyo Elimu utatatua matatizo yote mkuu.
 
Je wanazuoni wenzangu ebu nisaidie mawazo,elimu yetu watanzania ni utatuzi wa matatizo tuliyonayo wote au ni utatuzi wa mtu mojamoja?

hata ingekua ya kutatua matatzo ya jamii nzma(tuliyonayo wote) bt huwez wafkia wote, kfup elimu imegeuka kua siraha ya utatuz wa matatzo ya m2 bnafc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…