jamesmmassy
Member
- Apr 27, 2013
- 8
- 0
Piga simu 0672070040Ndugu zangu waungwana natarajia kuanzisha mgahawa au sehemu ya kuuzia chakula cha kupikwa ila nategemea kuweka msimamizi au manager wa kusimamia hiyo biashara kwa kuwa mimi nina biashara nyingine itaniwia vigumu kuganda hapoapo, kwa hiyo kwa yeyote mtaala au mwenye uelewa na hiyo biashara naomba muongozo au mbinu za kudhibiti au kusimamia hesabu ili nisije kula hasara,, naomba kuwasilisha....
Ndugu zangu waungwana natarajia kuanzisha mgahawa au sehemu ya kuuzia chakula cha kupikwa ila nategemea kuweka msimamizi au manager wa kusimamia hiyo biashara kwa kuwa mimi nina biashara nyingine itaniwia vigumu kuganda hapoapo, kwa hiyo kwa yeyote mtaala au mwenye uelewa na hiyo biashara naomba muongozo au mbinu za kudhibiti au kusimamia hesabu ili nisije kula hasara,, naomba kuwasilisha....
1. Funga CCTVNdugu zangu waungwana natarajia kuanzisha mgahawa au sehemu ya kuuzia chakula cha kupikwa ila nategemea kuweka msimamizi au manager wa kusimamia hiyo biashara kwa kuwa mimi nina biashara nyingine itaniwia vigumu kuganda hapoapo, kwa hiyo kwa yeyote mtaala au mwenye uelewa na hiyo biashara naomba muongozo au mbinu za kudhibiti au kusimamia hesabu ili nisije kula hasara,, naomba kuwasilisha....
Nakuunga mkono mkuu, mm mke wangu ana biashara asipokuwepo siku moja siku ya pili akienda anakutana na za uso madeni kibao na hasara ni ya kufikiaTrust me. .Kama husimamii mwenyewe hesabu biashara yako ishakufa.. writing from experience!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]1. Funga CCTV
2.
CCTV ndo inakuza biashara? I natake business to next levo?1. Funga CCTV
2.