EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Ndiyo eneo nalozeekea hiliWataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja
Natangiliza shukrani
Acha utani upate faida ya milion kweli?Ndiyo eneo nalozeekea hili
Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni
1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia
2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia
3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida
Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
kama ni producer inazidi hapoAcha utani upate faida ya milion kweli?
Mimi namaanisha wanaouza kawaida sio wazalishajikama ni producer inazidi hapo
Acha utani upate faida ya milion kweli?
Shukrani sana. Nitakucheki mkuuNdiyo eneo nalozeekea hili
Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni
1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia
2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia
3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida
Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
Hii biashara ni kama pharmacy tu. Ukienda na Million5 kufunga mzigo. Unaweza rudi na kibegi tu.Kwangu m5 nakufungia box moja tu
Ukiuza unaweza pata 1M yes Ila mtaji ni mdogo kupata varieties
Naagiza mwenyewe vingi ni toka india na dubai kwasasa.Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli
Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.
Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.
So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA
Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
Kama unaweza Karibu sokoni.
Unanitishaaaaa😁😁😁 nitatoboa tuutunamkaribisha sokoni achome kwanza mtaji mara kadhaa kabla nani kamwambia unaweka mayai sehemu moja yote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
sikutishi, anza na bidhaa chache kwanza usome soko mchezo ulivyo usije leta mzigo ambao wazalishaji hawajafanya promo yakutoshaUnanitishaaaaa😁😁😁 nitatoboa tuu
Huwa una michango mizuri sana linapokuja swala la biashara ya vipodozi, Mungu akubariki.Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli
Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.
Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.
So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA
Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
Mchawi ni kutake risk mfano mimi mwaka 2010 nlikuwa naagiza apple toka south canter nzma then nasambaza kwenye maduka na supermaket morogoro kwa mkopo baada ya week naanza kukusanya mpunga wangu.Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja
Natangiliza shukrani
Nilipo DSM
Bro please hit my dmNaagiza mwenyewe vingi ni toka india na dubai kwasasa.