Naomba mbinu

Naomba mbinu

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
wakuu habari za wikiendi I hope mu wazima wa afya

Niende moja Kwa moja kwene mada naombeni mbinu ya kuingia nayo chooni maana nna tumbo la kuharisha afu kuna wamama wako hapa nje wanasukana wako kama wote hivi


Mi mbinu ambayo huwa natumia huwa naingia na cm afu napiga mziki wa maana huku nafanya yangu ila leo nmekwama

Ebu nipeni maujanja wana chit chat
 
Unajua tumbo la kuhara? Kama hilo tumbo lako linaweza kuvumilia hadi utype na kuleta humu habari, basi unaweza kubana hadi jioni.
 
Pale unapoyaachia kohoa kwa nguvu

kuna sound absorptions itatokea kwa nguvu ...

Pia mimi huanza kuimba wimbo kwa sauti ya juu kama ni mkristo ana hata na pambio ...

NB: hizi ni mbinu nilizozifanyia utafiti kwa muda mrefu na kutunukiwa cheti cha mharishaj bora
 
Aisee wewe hujaumwaa maana usingekuja kuandika ujinga huo humuu...!!
 
Back
Top Bottom