Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Nahitaji kwenda kozi ya udereva mwezi mmoja. Daraja A na D na leseni gharama yake ni Tsh laki mbili na elfu sita(206000). Mimi nina tsh 72500, bado tsh 133500 Namba yangu ya simu(airtel money) ni 0688251569. Karibuni kwa kiasi chochote ulichonacho.