Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Pasta sijakuelewa ujue
Ina maana unataka kuazimwa pesa/kukopeshwa au unataka kuchangiwa
hakiki hizo hela ulizoandika hapo juu... afu heshimu hela kama umeshindwa kuiandika ukiishika uwezi kuihesabu utaidharau kwa sababu siyo yako... mkuu andika tarakimu vizuri... ukiwa unaandika hela kuwa makini sana..
Aaaaaahhh huyo ndio wifi yangu mie swala la pesa ataki utaniiii
hakiki hizo hela ulizoandika hapo juu... afu heshimu hela kama umeshindwa kuiandika ukiishika uwezi kuihesabu utaidharau kwa sababu siyo yako... mkuu andika tarakimu vizuri... ukiwa unaandika hela kuwa makini sana..
Nahitaji kwenda kozi ya udereva mwezi mmoja. Daraja A na D na leseni gharama yake ni Tsh laki mbili na elfu sita(206000). Mimi nina tsh 72500, bado tsh 133500 Namba yangu ya simu(airtel money) ni 0688251569. Karibuni kwa kiasi chochote ulichonacho.