malifimbo
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 127
- 29
Habari wanajamii,
Jamani mimi nimesomea Bachelor of Arts in History na nimemaliza mwaka 2013 .kutokana na nature ya hii kozi ambayo nimesoma ajira zinasumbua.ninaomba kama unaweza ukanichangia hela ili mwakani niweze kusoma POSTGRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION.kwani nimeangalia admission za udsm ada yao million tatu na laki mbili na nusu hadi million nne na laki mbili na nusu kwa mwaka huu 2014/2015.
kutokana na hali ngumu ya wazazi wangu nimeshindwa ndio maana nimeleta kwenu wajamii kuomba msaada kwenu.
0788014921 :flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:
Jamani mimi nimesomea Bachelor of Arts in History na nimemaliza mwaka 2013 .kutokana na nature ya hii kozi ambayo nimesoma ajira zinasumbua.ninaomba kama unaweza ukanichangia hela ili mwakani niweze kusoma POSTGRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION.kwani nimeangalia admission za udsm ada yao million tatu na laki mbili na nusu hadi million nne na laki mbili na nusu kwa mwaka huu 2014/2015.
kutokana na hali ngumu ya wazazi wangu nimeshindwa ndio maana nimeleta kwenu wajamii kuomba msaada kwenu.
0788014921 :flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig: