uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
kuna simu nataka kununua aliexpress na wasafarishaji wake ni DHL na inaonekana hawa jamaa sifa yao kubwa wako faster sana. wananiambia ndani siku 15 ninakuwa nimeisha ipata simu yangu. na simu yenyewe ambayo nataka kununua inauzwa sh million 1 na ghalama ya usafirishaji ni sh 89000
Lakini kwa upande wa pili nikajaribu kusoma post za miaka miwili nyuma kwa watu waliowahi kuagiza vitu DHL kuna mdau mmoja anasema aliagiza laptop dollar 250 kwa kupitia DHL na ilipo fika tena wakamkwangua sh. 190000 sasa akilini nikasema inamaana huyu jamaa hiyo laptop alinunua mara mbili. na inasemekana wapo watu ambao wamewahi kuvizila vitu vyao hukohuko DHL baada ya kuona gharama za usafilishaji ni kubwa mno. na nasikia wao wanafanya kazi kwa ukaribu mno na TRA
Lakini nikaona sio mbaya ni shee na waTanzania wenzangu ambao mmewahi kuagiza vitu kupitia DHL na inwezekana labda kwasasa wamejirekebisha
Lakini kwa upande wa pili nikajaribu kusoma post za miaka miwili nyuma kwa watu waliowahi kuagiza vitu DHL kuna mdau mmoja anasema aliagiza laptop dollar 250 kwa kupitia DHL na ilipo fika tena wakamkwangua sh. 190000 sasa akilini nikasema inamaana huyu jamaa hiyo laptop alinunua mara mbili. na inasemekana wapo watu ambao wamewahi kuvizila vitu vyao hukohuko DHL baada ya kuona gharama za usafilishaji ni kubwa mno. na nasikia wao wanafanya kazi kwa ukaribu mno na TRA
Lakini nikaona sio mbaya ni shee na waTanzania wenzangu ambao mmewahi kuagiza vitu kupitia DHL na inwezekana labda kwasasa wamejirekebisha